Maelezo ya Chini
b Wenye imani katika Mungu lakini kwamba hana haja na wanadamu walidai kwamba, kama vile mtengenezaji wa saa, Mungu aliviweka viumbe wake katika mwendo halafu akaacha mambo yajiendeshe, na kukosa kuhusika bila kujali. Kulingana na kitabu The Modern Heritage, wenye imani katika Mungu, “waliamini kwamba kukataa kuwapo kwa Mungu ni kosa lililotokezwa na kutojua la kufanya lakini pia kwamba hali ya mamlaka ya Kanisa Katoliki lenye ugumu na kutovumilia mafundisho yao ilikuwa ya kulaumika hata zaidi.”