Maelezo ya Chini
a Wengine waweza kusali kwa Yesu kwa sababu wanaamini kwamba yeye ni Mungu. Lakini Yesu ni Mwana wa Mungu, naye alimwabudu Yehova, Baba yake. (Yohana 20:17) Kwa mazungumzo zaidi juu ya haba- ri hii, ona Je! Uamini Utatu?, kilichochapishwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.