Maelezo ya Chini
a Yesu asemapo juu ya Ufalme uliotayarishwa “tangu kuumbwa ulimwengu” (Mathayo 25:34), ni lazima awe anarejezea wakati fulani baada ya dhambi ya kwanza. Luka 11:50, 51 hulinganisha kule “kupigwa msingi wa ulimwengu,” au kutokea kwa wanadamu wawezao kukombolewa kupitia fidia, na wakati wa Abeli.