Maelezo ya Chini
b Baada ya muda, ilionwa kwamba ikiwa uzaliwa wenye umaana zaidi uliopata kutokea haungesherehekewa, hatupaswi kusherehekea siku yoyote ya kuzaliwa. Zaidi ya hayo, wala Waisraeli wala Wakristo wa mapema hawakusherehekea siku za kuzaliwa. Biblia yataja siku mbili tu za kuzaliwa, moja ya Farao na nyingine ya Herode Antipa. Kila sherehe ilikuwa na uuaji. Mashahidi wa Yehova hawasherehekei siku za kuzaliwa kwa sababu miadhimisho hiyo ina vyanzo vya kipagani nayo huelekea kukweza wenye kusherehekea siku ya kuzaliwa.—Mwanzo 40:20-22; Marko 6:21-28.