Maelezo ya Chini
b Mnara wa Mlinzi la Aprili 15, 1992, lilitangaza kwamba ndugu waliochaguliwa hasa wa “kondoo wengine” walikuwa wakipewa migawo ya kusaidia halmashauri za Baraza Linaloongoza, wakilingana na Wanethini wa siku ya Ezra.—Yohana 10:16; Ezra 2:58.