Maelezo ya Chini b Neno la Kigiriki la “kweli,” a·leʹthei·a, latokana na neno limaanishalo “isiyofichwa,” kwa hiyo mara nyingi kweli huhusisha kufunuliwa kwa kile ambacho awali kilikuwa kimefichwa.—Linganisha Luka 12:2.