Maelezo ya Chini
a Ukuhani wa Israeli ulipoanzishwa, wana-wazaliwa wa kwanza wa makabila ya Israeli yasiyo ya Kilawi na wanaume wa kabila la Lawi walihesabiwa. Kulikuwa na wazaliwa wa kwanza 273 kuliko wanaume wa Kilawi. Hivyo, Yehova akaagiza kwamba shekeli tano kwa kila mmoja wa wale 273 zilipwe zikiwa fidia kwa ajili ya ziada hilo.