Maelezo ya Chini
b Kitabu Palestine in the Time of Christ chasema hivi: “Katika hali fulani-fulani, mwanamke aliwekwa karibu hali moja na mtumwa. Mathalani, yeye asingeweza kushuhudia katika mahakama ya hukumu, isipokuwa ili kushuhudia kifo cha mume wake.” Ikirejezea Mambo ya Walawi 5:1, The Mishnah yaeleza hivi: “[Sheria juu ya] ‘kiapo cha ushuhuda’ yatumika kwa wanaume lakini si kwa wanawake.”—Shebuoth 4:I.