Maelezo ya Chini
c Yosefo, mwanahistoria Myahudi wa karne ya kwanza aripoti kwamba Salome dada ya Mfalme Herode alimpelekea mume wake “hati ya kukomesha ndoa yao, ambalo ni jambo lisilopatana na sheria ya Kiyahudi. Kwa kuwa ni mwanamume (pekee) anayeruhusiwa nasi kufanya hivyo.”—Jewish Antiquities, 15, 259 [7, 10].