Maelezo ya Chini
b Tefillin ni visanduku vidogo viwili vya ngozi vilivyo na vikaratasi vyenye mistari ya Maandiko. Visanduku hivi vilivaliwa kidesturi kwenye mkono wa kushoto na kichwani wakati wa sala za siku ya juma. Mezuzah ni kunjo dogo lililoandikwa Kumbukumbu la Torati 6:4-9 na 11:13-21, iliyowekwa ndani ya kisanduku na kutiwa kwenye mwimo.