Maelezo ya Chini
b El Evangelio de Mateo chaeleza: “Uhai udumuo milele ni uhai wa hakika; kinyume chao ni adhabu ya hakika. Kivumishi cha Kigiriki aionios hasa hakionyeshi kipindi cha wakati, bali hali. Adhabu ya hakika ni kifo cha milele.”—Profesa mstaafu Juan Mateos (Pontifical Biblical Institute, Rome) na Profesa Fernando Camacho (Kituo cha Kitheolojia, Seville), Madrid, Hispania, 1981.