Maelezo ya Chini
b Yosefo asema hivi: “Tito alipoingia alistaajabishwa na nguvu za jiji hilo . . . Alipaaza sauti hivi kwa mshangao: ‘Mungu amekuwa upande wetu; Mungu ndiye aliyewashusha Wayahudi kutoka ngome hizi; kwa maana mikono au vifaa vya kibinadamu vingeweza kufanya nini dhidi ya minara hii?’”