Maelezo ya Chini
a Makao hayo si kama makao ya watawa ya Jumuiya ya Wakristo. Hakuna “abati,” au “baba,” katika maana hiyo. (Mathayo 23:9) Ndugu wenye kuchukua madaraka hupewa staha, lakini utumishi wao huongozwa na kanuni zilezile ziwaongozazo wazee wote.