Maelezo ya Chini
a Mmojawapo utendaji-kazi mkubwa wa roho ya Mungu juu ya Wakristo wa karne ya kwanza ulikuwa kuwatia-mafuta kuwa wana wa kiroho walioasilishwa wa Mungu na ndugu za Yesu. (2 Wakorintho 1:21, 22) Hilo wamewekewa wale wanafunzi wa Kristo 144,000 tu. (Ufunuo 14:1, 3) Leo Wakristo walio wengi wamepewa kwa fadhili tumaini la uhai udumuo milele kwenye dunia iliyo paradiso. Ingawa hawatiwi mafuta, wao pia wanapokea msaada na faraja ya roho takatifu ya Mungu.