Maelezo ya Chini
a Yale makabila sita mbele ya Mlima Gerizimu yalikuwa Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yusufu, na Benyamini. Yale makabila sita mbele ya Mlima Ebali yalikuwa Reubeni, Gadi, Asheri, Zebuloni, Dani, na Naftali.—Kumbukumbu la Torati 27:12, 13.