Maelezo ya Chini
a Zile ziitwazo kwa kawaida Hoja Tano za Harakati ya Kufuata Kanuni za Msingi, zilizofasiliwa mwaka wa 1895, zilikuwa “(1) upulizio wa kamili na ukamilifu wa Andiko; (2) uungu wa Yesu Kristo; (3) kuzaliwa kwa Kristo na bikira; (4) ufuniko wa badala wa Kristo juu ya msalaba; (5) ufufuo wa kimwili wa Kristo na kuja kwake kwa pili duniani, kibinafsi na kimwili.”—Studi di teologia (Masomo ya Kitheolojia).