Maelezo ya Chini
a Simulizi la Marko laongeza kwamba huyo mwana-punda alikuwa mmoja “ambaye hakuna yeyote wa wanadamu ameketi juu yake.” (Marko 11:2) Kwa wazi, mnyama ambaye hakuwa ametumiwa bado alifaa hasa kwa makusudi matakatifu.—Linganisha Hesabu 19:2; Kumbukumbu la Torati 21:3; 1 Samweli 6:7.