Maelezo ya Chini
b Kemoshi alikuwa mungu mkuu wa Wamoabi. (Hesabu 21:29; Yeremia 48:46) Katika angalau visa kadhaa, huenda watoto walitolewa wakiwa dhabihu kwa mungu huyo asiye wa kweli mwenye kuchukiza sana.—2 Wafalme 3:26, 27.
b Kemoshi alikuwa mungu mkuu wa Wamoabi. (Hesabu 21:29; Yeremia 48:46) Katika angalau visa kadhaa, huenda watoto walitolewa wakiwa dhabihu kwa mungu huyo asiye wa kweli mwenye kuchukiza sana.—2 Wafalme 3:26, 27.