Maelezo ya Chini
b Gazeti Trost, (Consolation) lililochapishwa na Watch Tower Society katika Bern, Uswisi, mwezi wa Mei 1, 1940, ukurasa 10, liliripoti kwamba katika pindi moja Mashahidi wa Yehova wa kike katika Lichtenburg hawakupewa mlo wa mchana kwa siku 14 kwa sababu walikataa kuonyesha ishara ya heshima nyimbo za Nazi zilipochezwa. Kulikuwa na Mashahidi wa Yehova 300 huko.