Maelezo ya Chini
b Wamisri waliamini kwamba wakati wa kufa roho ya mtu ingekariri mbele ya Osiris maneno thabiti kama “Sikutaabisha mtu yeyote,” “Sikuvinyima maziwa vinywa vya watoto wanyonyao,” na “Nilimpa mkate mwenye njaa na kinywaji yule mwenye kiu.”