Maelezo ya Chini
b Dakt. Ford alikuwa profesa wa dini katika chuo kinachoendeshwa na kanisa cha Pacific Union College katika Marekani. Katika 1980, uongozi wa SDA ulimpa likizo ya miezi sita ili kuchunguza hilo fundisho, lakini waliyakataa matokeo ya uchunguzi wake. Aliyachapisha katika kitabu Daniel 8:14, the Day of Atonement, and the Investigative Judgment.