Maelezo ya Chini
a Hapa tafsiri fulani zadokeza kwamba mtu anayegusa watu wa Mungu anagusa jicho la Israeli au hata lake mwenyewe, bali si la Mungu. Kosa hilo lilitokana na waandishi fulani wa enzi za kati ambao, katika jitihada zao zilizopotoka za kurekebisha mafungu ya maneno waliyoona kuwa hayahusiki, walibadili mstari huu. Kwa hiyo walizuia wingi wa hisia-mwenzi za kibinafsi za Yehova zisionekane.