Maelezo ya Chini
c Ilikuwa desturi kwa mtumishi kuyamimina maji juu ya mikono ya bwana-mkubwa wake ili kuiosha, hasa baada ya milo. Zoea hilo lilifanana na kuosha miguu, tendo ambalo lilikuwa la ukaribishaji-wageni, staha, na katika mahusiano fulani, tendo la unyenyekevu.—Mwanzo 24:31, 32; Yohana 13:5.