Maelezo ya Chini
a Kulingana na Talmud ya Babiloni, pokeo moja la kirabi lilitaarifu hivi: “Ikiwa mtu akiuka-sheria, mara ya kwanza, ya pili na ya tatu husamehewa, mara ya nne hasamehewi.” (Yoma 86b) Pokeo hilo lilitegemea kwa sehemu uelewevu wenye kosa wa maandiko kama Amosi 1:3; 2:6; na Ayubu 33:29.