Maelezo ya Chini
a Yosefo asimulia kwamba Waroma wenye kushambulia walizingira hilo jiji, wakafukua chini ya sehemu fulani ya huo ukuta, na walikuwa tayari kuwasha moto kwenye lango la hekalu la Yehova. Hilo lilisababisha hofu yenye kushtua miongoni mwa Wayahudi wengi waliokuwa wamenaswa ndani, kwa kuwa wangeweza kuona kifo kikikaribia.—Wars of the Jews, Book II, sura ya 19.