Maelezo ya Chini
b Kwenye safari hiyo ya kurudi Kolosai, yaonekana kuwa Onesimo na Tikiko walikuwa wamekabidhiwa barua tatu kati ya barua za Paulo, ambazo sasa zimetiwa ndani ya vitabu vya Biblia vinavyokubaliwa. Kwa kuongezea barua hiyo aliyoandikia Filemoni, hizo zilikuwa barua za Paulo kwa Waefeso na kwa Wakolosai.