Maelezo ya Chini
a Biblia fulani na hati za kale za Kigiriki husema kwamba Yesu aliwatuma wanafunzi “sabini na wawili.” Hata hivyo, kuna utegemezo mwingi wa hati juu ya tafsiri “sabini.” Tofauti hii ya kiufundi haipasi kutukengeusha fikira kutoka kwenye hoja kuu, kwamba Yesu alituma kikundi kikubwa cha wanafunzi wake kwenda kuhubiri.