Maelezo ya Chini
b Wakati wa kifungo chake cha pili katika Roma, Paulo alimwomba Timotheo alete “hati-kunjo, hasa zile hati za ngozi.” (2 Timotheo 4:13) Labda Paulo alikuwa akimwomba alete sehemu za Maandiko ya Kiebrania ili aweze kuyachunguza alipokuwa gerezani. Fungu la maneno “hasa zile hati za ngozi” huenda likaonyesha kwamba hati-kunjo za mafunjo na nyingine za ngozi zilihusika.