Maelezo ya Chini
a Thamani ya “kipande cha fedha” (Kiebrania, qesi·tahʹ) haiwezi kujulikana. Lakini wakati wa Yakobo, “vipande mia vya fedha” vilinunua eneo kubwa la shamba. (Yoshua 24:32) Kwa hiyo, yaelekea “kipande cha fedha” kutoka kwa kila mgeni kilikuwa zawadi kubwa.