Maelezo ya Chini
d Watu wengine huenda wasione ubaya wowote wa kutupa maua au mchanga kaburini. Hata hivyo Mkristo angeepuka zoea hilo kama jumuiya huliona kuwa njia ya kuwatuliza wafu au ikiwa kufanya hivyo ni sehemu ya sherehe zenye kusimamiwa na mhudumu wa dini isiyo ya kweli.—Ona gazeti la Amkeni! la Machi 22, 1979, ukurasa wa 15 (la Kiingereza).