Maelezo ya Chini
a Katika Maandiko ya Kiebrania, maneno makuu matatu yanahusika. Moja ya hayo (mish·patʹ) mara nyingi hutafsiriwa kuwa “haki.” Yale mengine mawili (tseʹdheq na neno linalohusiana nalo, tsedha·qahʹ) katika visa vingi hufasiriwa kuwa “uadilifu.” Neno la Kigiriki linalotafsiriwa “uadilifu” (di·kai·o·syʹne) lafafanuliwa kuwa “sifa ya kuwa sawa au haki.”