Maelezo ya Chini
c Paulo alishuku kuokoka kwa “kazi” ya mjenzi wala si mjenzi mwenyewe. Tafsiri ya The New English Bible yatafsiri mstari huo hivi: “Jengo la mtu likistahimili, atapokea thawabu; likichomeka, atapata hasara; na bado ataponyoka na uhai wake, kama vile mtu aponyokavyo kutoka motoni.”