Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

c Katika kitabu History of the Jews, Profesa Graetz asema kwamba nyakati fulani Waroma waliwatundika mtini wafungwa 500 kwa siku. Baadhi ya Wayahudi waliotekwa walikatwa mikono na kurudishwa jijini. Ni hali zipi zilizokuwa humo? “Pesa zilikuwa zimepoteza thamani yake, kwa kuwa hazingeweza kununua mkate. Wanaume walipigana vibaya sana barabarani waking’ang’ania chakula chenye kuchukiza sana, vifurushi vya nyasi, kipande cha ngozi, au takataka iliyotupiwa mbwa. . . . Idadi iliyokuwa ikiongezeka haraka ya maiti zisizozikwa ilifanya hewa ya kiangazi isababishe magonjwa ya kuambukiza, na ugonjwa, njaa kuu, na upanga vikawaangamiza watu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki