Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Majaribio ya kuunganisha tena [mirija ya shahawa] kupitia upasuaji yamefanikiwa kwa angalau asilimia 40, na kuna uthibitisho wa kwamba mafanikio zaidi yanaweza kupatikana kupitia mbinu bora za kutumia vifaa vya hali ya juu. Hata hivyo, kufunga uzazi kwa njia ya vasectomy kwapasa kuonwa kuwa njia ya kudumu.” (Encyclopædia Britannica) “Kufunga uzazi kwapasa kuonwa kuwa jambo la kudumu. Licha ya mambo ambayo huenda mtu amesikia kuhusu kurudishwa kwa hali ya kuweza kuzaa tena, kuunganisha tena mirija kupitia upasuaji ni ghali, na hakuna uhakikisho kwamba utafanikiwa. Kwa wanawake wanaofanyiwa upasuaji ili waweze kuzaa tena, kuna hatari kubwa ya kushika mimba kwenye mrija wa falopio.’—Contemporary OB/GYN, Juni 1998.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki