Maelezo ya Chini
a Kitabu Cyclopedia cha McClintock na Strong chasema: “Wakusanya-kodi wa Agano Jipya walionwa kuwa wahaini na waasi-imani, waliochafuliwa kwa kuchangamana sana na wapagani, na walio tayari kutumiwa na waonezi. Wao walionwa kuwa sehemu ya watenda-dhambi . . . Wakiwa wametengwa, watu wenye heshima waliwaepuka, na rafiki zao au waandamani wao wa pekee walikuwa watu ambao pia walikuwa wametengwa.”