Maelezo ya Chini
a Kwa kupendeza, jalada la Chapa Yenye Marejezo ya New American Standard Bible, ya mwaka wa 1971, vilevile lilitaarifu hivi: “Hatukutumia jina la msomi yeyote ili arejezewe au atoe mapendekezo, kwa sababu twaamini kwamba Neno la Mungu lapaswa lidumu kwa sababu ya ustahili wake.”