Maelezo ya Chini
a Katika utaratibu wa kuweka tarehe wa K.K. na A.D., matukio yaliyotokea kabla ya wakati wa kimapokeo wa kuzaliwa kwa Yesu huitwa miaka ya “K.K.” (kabla ya Kristo); nayo yale yaliyotokea baadaye huitwa miaka ya “A.D.”(Anno Domini—“katika mwaka wa Bwana wetu.”) Hata hivyo, wasomi fulani wenye ujuzi hupendelea kutumia usemi usio wa kidini “K.W.K.” (kabla ya Wakati wetu wa Kawaida) na “W.K.” (-a Wakati wetu wa Kawaida.)