Maelezo ya Chini
a Huo haukuwa wizi. Waisraeli waliomba michango kutoka kwa Wamisri, wakapewa kwa hiari. Isitoshe, kwa kuwa Wamisri hawakuwa na haki ya kuwafanya Waisraeli watumwa, walipaswa kuwalipa watu wa Mungu mishahara kwa kazi ngumu waliyokuwa wamefanya kwa miaka mingi.