Maelezo ya Chini
a Bwana-mkubwa hakuwa amefanya miadi yoyote na watumwa wake. Basi, hakuwa na wajibu wowote wa kuwajulisha watumwa utendaji wake, wala kuwaeleza sababu ya kule kulikoonekana kuwa kukawia kwake.
a Bwana-mkubwa hakuwa amefanya miadi yoyote na watumwa wake. Basi, hakuwa na wajibu wowote wa kuwajulisha watumwa utendaji wake, wala kuwaeleza sababu ya kule kulikoonekana kuwa kukawia kwake.