Maelezo ya Chini
f Katika ule mfano wa kondoo na mbuzi, Mwana wa binadamu awasili katika utukufu wake wakati wa ile dhiki kubwa na kuketi ili kuhukumu. Kristo awahukumu watu kwa msingi wa kama walitegemeza ndugu zake watiwa-mafuta. Msingi huo wa kuhukumu haungekuwa na maana yoyote ikiwa wakati wa hukumu hiyo, ndugu wote wa Kristo wangekuwa tayari wameondoka duniani muda mrefu awali.—Mathayo 25:31-46.