Maelezo ya Chini
a Baada ya kifo cha C. T. Russell, kichapo kilichotajwa kuwa buku la saba la Studies in the Scriptures kilitayarishwa ili kujaribu kufafanua kitabu cha Ezekieli na Ufunuo. Sehemu fulani ya buku hilo ilitegemea maelezo ya Russell ya vitabu hivyo vya Biblia. Hata hivyo, wakati wa kufunua maana ya unabii huo haukuwa umefika, na kwa ujumla, maelezo ya buku hilo la Studies in the Scriptures si wazi. Miaka iliyofuata, fadhili isiyostahiliwa ya Yehova na mambo yaliyotukia ulimwenguni yaliwafanya Wakristo waelewe vizuri zaidi maana ya vitabu hivyo vya unabii.