Maelezo ya Chini
a Katika mfano wa ngano na magugu na wa barabara pana na yenye kufinyana (Mathayo 7:13, 14), Yesu alionyesha kwamba katika enzi zote ni watu wachache tu ambao wangeendelea kufuata Ukristo wa kweli. Hata hivyo, watu wengi walio kama magugu ambao wangejiendeleza na kuendeleza mafundisho yao kuwa eti Ukristo halisi, wangefanya iwe vigumu kuwatambua Wakristo wa kweli. Hali hiyo ndiyo inayozungumziwa katika makala yetu.