Maelezo ya Chini
b “Helo” limetafsiriwa kutoka kwa neno la Kiebrania Sheoli na neno la Kigiriki Hadesi, maneno hayo mawili yanamaanisha tu “kaburi.” Hivyo, ingawa watafsiri wa Kiingereza wa Biblia ya King James Version walitafsiri neno Sheoli mara 31 kuwa “helo,” pia walilitafsiri mara 31 kuwa “kaburi” na mara 3 kuwa “shimo,” hivyo wakionyesha kwamba kwa ujumla maneno hayo yana maana moja tu.