Maelezo ya Chini
d Kwa mfano, Finehasi alichukua hatua ya haraka ili kukomesha pigo ambalo lilikuwa limeua makumi ya maelfu ya Waisraeli, naye Daudi aliwatia moyo watu wake wenye njaa sana wale pamoja naye mikate ya wonyesho katika “nyumba ya Mungu.” Mungu hakuyashutumu matendo hayo mawili kuwa kimbelembele.—Mathayo 12:2-4; Hesabu 25:7-9; 1 Samweli 21:1-6.