Maelezo ya Chini
a Kichapo Insight on the Scriptures, kilichochapishwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc., chaeleza: “Kama litumiwavyo katika Biblia, neno ‘ufuniko’ hasa lamaanisha ‘-funika’ au ‘-badilishana,’ nacho kile kinachotolewa ili kubadilishana na kingine, au kikiwa ‘kifuniko’ cha kingine, lazima kilingane na kinachofunikwa. . . . Ili kufunika ifaavyo kile kilichopotezwa na Adamu, toleo la dhambi lenye thamani inayolingana na uhai mkamilifu wa kibinadamu lingetolewa.”