Maelezo ya Chini
b Neno la Kiebrania ambalo mara nyingi hutafsiriwa “toleo” ni qor·banʹ. Alipokuwa akiandika juu ya shutumu la Yesu dhidi ya mazoea fulani mabaya ya waandishi na Mafarisayo, Marko alieleza kwamba “korbani” lamaanisha “zawadi iliyowekwa wakfu kwa Mungu.”—Marko 7:11.