Maelezo ya Chini
a Kwa mujibu wa Sheria ya Kimusa, mwizi alihitajika kulipa mara mbili, mara nne, au mara tano. (Kutoka 22:1-4) Usemi “mara saba” labda wamaanisha kipimo kamili cha adhabu, ambacho kingeweza kuwa mara kadhaa ya kile alichoiba.
a Kwa mujibu wa Sheria ya Kimusa, mwizi alihitajika kulipa mara mbili, mara nne, au mara tano. (Kutoka 22:1-4) Usemi “mara saba” labda wamaanisha kipimo kamili cha adhabu, ambacho kingeweza kuwa mara kadhaa ya kile alichoiba.