Maelezo ya Chini
b Tofauti na uhusiano baina ya watu, msingi wa uhusiano pamoja na Mungu ni kuamini kwamba yeye yuko. (Waebrania 11:6) Kwa mazungumzo ya kindani juu ya jinsi ya kujenga imani thabiti katika Mungu, tafadhali soma kitabu Je, Kuna Muumba Anayekujali?, kilichochapishwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.