Maelezo ya Chini
b Katika Matendo 13:2, inasemwa kwamba manabii na walimu huko Antiokia walikuwa “wakimhudumia Yehova hadharani” (tafsiri ya neno la Kigiriki linalohusiana na lei·tour·giʹa). Yaelekea, huduma hiyo ya hadharani ilitia ndani kuhubiria watu.