Maelezo ya Chini
b Ingawa andiko la Waroma 12:1 lahusu hasa Wakristo watiwa-mafuta, kanuni ya andiko hilo yahusu pia “kondoo wengine.” (Yohana 10:16) Hao ‘huandamana na Yehova ili wamhudumu, na kulipenda jina la Yehova ili kuwa watumishi wake.’—Isaya 56:6.